Mhe. Bashe afanya kikao na NIRC

Mhe. Bashe afanya kikao na NIRC

Leo, tarehe 25 Machi 2025, Mhe. Hussein Bashe, Waziri wa Kilimo, amekutana na Menejimenti ya Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) inayoongozwa na Mkurugenzi Mkuu Bw. Raymond Mndolwa, pamoja na Wahandisi wa Umwagiliaji kutoka mikoa mbalimbali, jijini Dodoma. Kikao hicho…