Leo, tarehe 25 Machi 2025, Mhe. Hussein Bashe, Waziri wa Kilimo, amekutana na Menejimenti ya Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) inayoongozwa na Mkurugenzi Mkuu Bw. Raymond Mndolwa, pamoja na Wahandisi wa Umwagiliaji kutoka mikoa mbalimbali, jijini Dodoma. Kikao hicho…
Ndani ya kipindi cha miaka minne ya uongozi thabiti wa Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, sekta ya kilimo imepiga hatua kubwa. Takwimu zinaonesha kuwa uzalishaji wa mazao ya chakula umeongezeka kutoka tani…
The third G25 African Coffee Summit held in Dar es Salaam, United Republic of Tanzania. We, the heads of the state and government of the 25 African coffee producing countries, convened for the third edition of the G25 African Coffee…
Tanzania imeandika historia kwa kuwa mwenyeji wa Kilele cha Mkutano wa Tatu wa Nchi Zinazozalisha Kahawa Barani Afrika, uliofanyika tarehe 22 Februari 2025. Akiwahutubia viongozi na wadau wa sekta ya kahawa kutoka mataifa mbalimbali, Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan…
Roma, Italia, Tanzania imeendelea kuonyesha dhamira yake ya kuimarisha sekta ya kilimo kupitia ushirikiano wa kimataifa, ambapo Waziri wa Kilimo, Mheshimiwa Hussein Bashe, alimwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, katika Mkutano wa 48 wa…
Dodoma, 29 Januari 2025 – Serikali kupitia Wizara ya Kilimo imekabidhi hundi ya Shilingi Bilioni 13 kwa Chama cha Ushirika cha Tobacco Cooperative Joint Enterprises Limited (TCJE) ili kugharamia ruzuku ya wakulima wa tumbaku nchini na kupunguza gharama za uzalishaji.…
Tume ya Taifa ya Umwagiliaji imesaini makubaliano na Wakurugenzi wa Halmashauri 19 nchini kuhusu usimamizi na uendeshaji wa matunzo ya skimu za umwagiliaji kupitia Mradi wa Mifumo Himilivu ya Chakula (TFSRP). Katika hafla hiyo, Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe,…
Tanzania imepata heshima kubwa ya kuwa mwenyeji wa Mkutano wa Tatu wa Nchi Zinazozalisha Kahawa Afrika (G-25 African Coffee Summit) unaotarajiwa kufanyika tarehe 21-22 Februari 2025 jijini Dar es Salaam. Mkutano huu, ambao awali umefanyika nchini Kenya na Uganda, utahudhuriwa…
🗓️ 17 Desemba 2024 Leo, Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (Mb), amekutana na wadau wa tasnia ya mbegu kwa ajili ya kujadili changamoto zinazokabili sekta hiyo na kuimarisha mfumo rasmi wa usambazaji wa pembejeo za kilimo nchini. Katika kikao…
Dodoma, 10 Desemba 2024 Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (Mb), leo amekutana na ujumbe maalum wa wawakilishi kutoka kampuni mbili mashuhuri za Japan—Nasa Corporation, inayojihusisha na utengenezaji wa mashine za kufungasha chai, na Kawasaki Kiko, inayobobea katika utengenezaji wa…