Dodoma: Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe, (Mb) amesema kuwa Serikali kupitia Taasisi ya Kuthibiti Ubora wa Mbegu Tanzania (TOSCI) inaanza rasmi mchakato wa kusajili mbegu za asili ili ziweze kuingizwa sokoni na kuwapa wakulima uhuru wa kuchagua kati ya…
Dodoma, 12 Mei 2025 – Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (Mb), amekabidhi magari 38 yenye thamani ya shilingi bilioni 4.2 pamoja na mitambo 7 ya uchimbaji visima kwa taasisi mbalimbali zilizo chini ya Wizara ya Kilimo. Lengo la makabidhiano…
Mheshimiwa Rais, mambo mengi umetoa maelekezo kuwa unataka matokeo, hutaki mambo mengine. Siwezi kurudi kwako kukwambia Mheshimiwa Rais nimekwama kwa sababu utaratibu ulikwama. Hili la Ushirika kuwa na benki katika taratibu za kawaida leo tusingekuwa na benki hii. Nawashukuru sana…
Waziri wa Kilimo, Mhe, Hussein Bashe, ametangaza marufuku ya kuingiza nchini mazao ya kilimo kutoka Malawi na Afrika Kusini, baada ya nchi hizo kushindwa kufungua masoko yao kwa bidhaa za kilimo kutoka Tanzania. Amesema hatua hiyo inalenga kulinda maslahi ya…
Dodoma, 10 Aprili 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuzindua rasmi Benki ya Ushirika Tanzania (Coop Bank Tanzania) tarehe 28 Aprili 2025, ikiwa ni sehemu ya jitihada za Serikali kufufua benki…
Minister for Agriculture, Hon. Hussein Bashe (MP) held a productive meeting with Chargé d’Affaires Andrew Lentz from the U.S. Embassy in Tanzania on April 8, 2025, in Dodoma. The discussion focused on strengthening bilateral cooperation in agriculture, with a shared…
Dodoma, Machi 2025 Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (Mb), ameipa Bodi ya Chai Tanzania (TTB) muda wa siku 14 kuwasilisha taarifa kamili ya gharama za uzalishaji na uchakataji wa chai nchini, kwa lengo la kuweka msingi wa maboresho ya…
The Minister for Agriculture, Hon. Hussein Bashe (MP), has issued a strong call to action against the longstanding practice of discarding avocados deemed unfit for export without exploring alternative uses. Speaking at the First National Avocado Stakeholders Meeting held on…
On March 26, 2025, in Dodoma, the Minister for Agriculture, Hon. Hussein Bashe (MP), held a strategic meeting with a delegation from the African Development Bank Group (AfDB), led by Mr. Pascal Saginga. The discussions focused on key agricultural priorities,…