Mgombea Ubunge wa Nzega Mjini na Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe, ametaja sababu tano zinazowafanya wananchi wa Tabora kumpigia kura Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025. Akizungumza kwenye…
Meatu, 17 Juni 2025 – Serikali kupitia Wizara ya Kilimo inaendelea kuchukua hatua thabiti kuhakikisha kuwa wakulima wa pamba nchini wananufaika moja kwa moja na jasho lao, kwa kuweka mazingira wezeshi ya soko, thamani na bei. Akiwa pamoja na Mheshimiwa…
Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (Mb) amefanya ziara ya ukaguzi katika maghala ya Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) yaliyopo eneo la Mazwi, Sumbawanga mjini, mkoani Rukwa tarehe 16 Julai 2024. Katika ziara hiyo, Bw. Marwa Range,…
Mhe. Hussein Bashe (Mb), Waziri wa Kilimo ameendelea na ziara yake ya kikazi na kukagua mradi wa ukarabati wa skimu ya umwagiliaji ya Usense, mkoani Katavi tarehe 20 Julai 2024 na kuongea na wanakijiji wanufaika wa mradi huo. Mradi wa…