Bashe atoa ahadi nzito kwa wananchi wa Nzega.

Bashe atoa ahadi nzito kwa wananchi wa Nzega.

Tarehe 21/9/2025 Nzega Mjini imefurika  maelfu ya wananchi waliokusanyika kumsikiliza mgombea ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhe. Hussein Bashe, katika mkutano mkubwa wa kampeni uliojaa shamrashamra na hamasa kutoka makundi mbali mbali.  Akiwahutubia wananchi wa Nzega Mjini Mhe, Bashe…

 Sababu za wana Nzega kumchagua Dkt Samia.

Sababu za wana Nzega kumchagua Dkt Samia.

Mgombea Ubunge wa Nzega Mjini na Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe, ametaja sababu tano zinazowafanya wananchi wa Tabora kumpigia kura Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025. Akizungumza kwenye…

 Safari Ya Kuendelea Kutumikia

Safari Ya Kuendelea Kutumikia

🗓️ 27 Agosti 2025 Leo nimebahatika kurejesha fomu za uteuzi wa kugombea Ubunge wa Jimbo la Nzega Mjini katika Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Nzega. Naomba dua zenu katika safari hii ya kuwatumikia wananchi wa Nzega Mjini…

 Mhe. Bashe afanya kikao na NIRC

Mhe. Bashe afanya kikao na NIRC

Leo, tarehe 25 Machi 2025, Mhe. Hussein Bashe, Waziri wa Kilimo, amekutana na Menejimenti ya Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) inayoongozwa na Mkurugenzi Mkuu Bw. Raymond Mndolwa, pamoja na Wahandisi wa Umwagiliaji kutoka mikoa mbalimbali, jijini Dodoma. Kikao hicho…