• Home
  • About
    • Meet Hon. Hussein Bashe
    • Learn about Nzega
    • About Sponsorship
  • Discover
    • Agriculture Reforms
    • Flagship programs
    • Publications
  • Media Reports
  • Habari
    • Habari za Jimbo
    • Habari za Wizara
  • Contact
Colored@4x
Edit Content

About Us

Hon. Hussein Mohammed Bashe: A Visionary Leader Rooted in Tanzania’s Progress

Let's Connect

Category: Government

 Mauzo ya Sukari Nje Yaipatia Serikali Dola Milioni 72.
October 17, 2025 Government, Habari za Jimbo

Mauzo ya Sukari Nje Yaipatia Serikali Dola Milioni 72.

Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe, amebainisha kuwa kwa mara ya kwanza katika historia ya taifa letu la  Tanzania limefanikiwa kuuza nje ya nchi sukari tani 80,000, hatua inayoashiria mafanikio makubwa ya Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi…

Continue
 Uzinduzi wa bodi mpya TOSCI
August 25, 2025 Development, Government, Habari za Wizara

Uzinduzi wa bodi mpya TOSCI

Dodoma, 22 Agosti 2025 – Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Mohamed Bashe (Mb), amezindua rasmi Bodi mpya ya Wakurugenzi wa Taasisi ya Kuthibiti Ubora wa Mbegu Tanzania (TOSCI) katika hafla iliyofanyika jijini Dodoma, huku akitoa maagizo mahsusi ya kuimarisha usimamizi…

Continue
 Uzinduzi wa kiwanda cha mbolea ITRACOM
July 2, 2025 Development, Government, Habari za Wizara

Uzinduzi wa kiwanda cha mbolea ITRACOM

Tarehe 28 Juni 2025 Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan,Viongozi wa Serikali mliopo,Mabibi na Mabwana, Napenda nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutuwezesha kukutana hapa leo katika tukio hili muhimu la uzinduzi wa Kiwanda…

Continue
 Serikali yazindua kiwanda cha Pamba Meatu.
June 23, 2025 Development, Government, Habari za Wizara, ZIARA

Serikali yazindua kiwanda cha Pamba Meatu.

Meatu, 17 Juni 2025 – Serikali kupitia Wizara ya Kilimo inaendelea kuchukua hatua thabiti kuhakikisha kuwa wakulima wa pamba nchini wananufaika moja kwa moja na jasho lao, kwa kuweka mazingira wezeshi ya soko, thamani na bei. Akiwa pamoja na Mheshimiwa…

Continue
 Serikali yaipa Pamba Kipaumbele
June 23, 2025 Development, Government, Habari za Wizara

Serikali yaipa Pamba Kipaumbele

Simiyu, 16 Juni 2025 – Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein M. Bashe, ameweka msisitizo mkubwa katika mageuzi ya kilimo cha pamba nchini, baada ya kushiriki uzinduzi wa viwanda viwili vya kuchakata pamba na kutengeneza mabomba katika eneo la Salunda, Wilaya…

Continue
 Tovuti ya Nane Nane 2025, Yazinduliwa.
June 15, 2025 Development, Government, NANE NANE

Tovuti ya Nane Nane 2025, Yazinduliwa.

Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (Mb) amezindua Tovuti ya Usajili kwa ajili ya Ushiriki wa Maonesho ya Nane Nane 2025 yatakayofanyika Kitaifa Mkoani Dodoma tarehe 1 hadi 8 Agosti 2025. Mkutano huo na Wanahabari umefanyika tarehe 13 Juni 2025,…

Continue
 Ndege ya Kilimo Yawasili Dodoma
June 2, 2025 Development, Government, Habari za Wizara

Ndege ya Kilimo Yawasili Dodoma

Katika hatua kubwa ya kuimarisha ulinzi wa mazao na kuwalinda wakulima dhidi ya visumbufu shambani, Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe amepokea rasmi ndege maalum ya kilimo aina ya Thrush 510 P2 katika Uwanja wa Ndege wa Dodoma. Ndege hiyo…

Continue
 Hotuba ya Waziri wa Kilimo Kuhusu Bajeti ya Wizara ya Kilimo 2025/2026
May 21, 2025 Development, Government, Habari za Wizara

Hotuba ya Waziri wa Kilimo Kuhusu Bajeti ya Wizara ya Kilimo 2025/2026

Continue
 TOSCI Kusajili Mbegu za Asili
May 20, 2025 Development, Government, Habari za Wizara

TOSCI Kusajili Mbegu za Asili

Dodoma: Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe, (Mb) amesema kuwa Serikali kupitia Taasisi ya Kuthibiti Ubora wa Mbegu Tanzania (TOSCI) inaanza rasmi mchakato wa kusajili mbegu za asili ili ziweze kuingizwa sokoni na kuwapa wakulima uhuru wa kuchagua kati ya…

Continue
 Sekta ya Kilimo Yaimarishwa.
May 15, 2025 Development, Government, Habari za Wizara

Sekta ya Kilimo Yaimarishwa.

Dodoma, 12 Mei 2025 – Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (Mb), amekabidhi magari 38 yenye thamani ya shilingi bilioni 4.2 pamoja na mitambo 7 ya uchimbaji visima kwa taasisi mbalimbali zilizo chini ya Wizara ya Kilimo. Lengo la makabidhiano…

Continue
  • 1
  • 2
  • 3
Recent Posts
  • Mauzo ya Sukari Nje Yaipatia Serikali Dola Milioni 72.
  • Bashe atoa ahadi nzito kwa wananchi wa Nzega.
  • Sababu za wana Nzega kumchagua Dkt Samia.
  • Safari Ya Kuendelea Kutumikia
  • Uzinduzi wa bodi mpya TOSCI
Categories
  • #G25Summit
  • Development
  • Government
  • Habari za Jimbo
  • Habari za Wizara
  • NANE NANE
  • Summit
  • ZIARA
Registering to Vote is the Basis for Good Elections
Learn more

Building A Better Tanzania

  • Office ya Mbunge info@husseinbashe.org
    P.O.Box 106
    Mtaa wa Humbi - Uzunguni
  • +255 766 010 666

Quicklinks

About
Gallery
News

Gallery

© 2025, Hussein Bashe. All Rights Reserved.

Meet Hon. Hussein Bashe
Contact